capo: 1st fret

[verse]

G        F     G
Aah mmmh mmmh
               F              G
Ah unaringa umepima? aii utajiju
              F
Huu mwaka utachina
                   G
Si ulileta unyang'au

            F
Ukaukwi kunitishia
               G
Unaondoka unaondoka
                 F
Kama daladala za kariakoo
           G
Inatoka inatoka

           F
Hadharani unanisusia
           G
Kuropoka ropoka
                 F
Ama domo lako shimo la choo
      G
Yanakutoka

                        F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
                  G
Maana nishapata pa kuegemea
            F
Mmmh napendwa
                G
Na sio kwa ninavyojidekea
           F
Hulka yako ya pupa
              G
Mwenzako ananinyenyekea

           F
Oooh kutendwa
             G
Nakusikia kwenye bomba
                F
Na tena naenjoy

[chorus]

        G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F              G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F              G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F              G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy

[interlude]

F  G  F  G

[verse]

           F
Napenda akinipa
          G
Akinipa migandisho
              F
Kama anapigwa shoti
            G
Akisakata migandisho

          F
Na kama mapenzi
                          G
Roho yake bahari huu muda naelea
         F
Maana nishazamaga
            G
Nishakufa mzoga

        F
Na kama penzi melody kali
             G
Mi kwake ndo burudani
     F
Wala sidhani ka
             G
Ataridhika kunikosa

                        F
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
                     G
Maana nishapata pa kuegemea
           F
Mmmh napendwa
                  G
Na sio kwa ninavyojidekea
           F
Hulka yako ya pupa
              G
Mwenzako ananinyenyekea

          F
Oooh kutendwa
             G
Nakusikia kwenye bomba
                F
Na tena naenjoy

[chorus]

        G
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
F              G
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
F              G
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
F              G
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
Visit www.musixindo.com
to see the lyrics Raha
                  Aah mmmh mmmh
Ah unaringa umepima? Aii utajiju
Huu mwaka utachina
Si ulileta unyang'au
 
Ukaukwi kunitishia
Unaondoka unaondoka
Kama daladala za Kariakoo
Inatoka inatoka
 
Hadharani unanisusia
kuropoka ropoka
Ama domo lako shimo la choo
Yanakutoka
 
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
 
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
 
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy
 
Napenda akinipa
Akinipa migandisho
Kama anapigwa shoti
Akisakata migandisho
 
Na kama mapenzi
Roho yake bahari
Huu muda naelea
Maana nishazamaga
Nishakufa mzoga
 
Na kama penzi melody kali
Mi kwake ndo burudani
Wala sidhani ka
Ataridhika kunikosa
 
Na kwa taarifa yako siwezi kuanguka
Maana nishapata pa kuegemea
Mmmmh napendwa, na sio kwa ninavyojidekea
Hulka yako ya pupa, mwenzako ananinyenyekea
 
Oooh kutendwa
Nakusikia kwenye bomba
Na tena naenjoy
 
Mpa ka raha mpaka natakatishwa
Mpa ka raha mpaka anipaga kutwa mara tatu
Mpa ka raha mpaka naogeshwa nakandwa
Mpa ka raha mpaka na tena naenjoy                
Tab not available
 Buy song Raha on iTunes store

Support artists with purchashing the original song!

share Share
TikTok top songs playlist 2022



0 Comments
Please sign-in to comment.

All Artists: # A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z