capo: 1st fret
[verse]
G C
ilikuwa safari ndefu yenye mateso
G D
machozi mizigo vikwazo
G C G D
ila yote umenitua
G C
naomba penzi letu lisife kesho
G D
ukanipa pressure mawazo
G C G D
chonde mama utaniua
[pre reff]
G C
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
G D
Hata sijakutekenya unacheka
G C
Oooh tambua ushaniteka
G D
Hata bila chakula nanenepa, my love
[refrain]
G C G
salama nikiwa na wewe
D
Hata kama nina shida nasahau
G C
sura kama malaika
G D
na wala hauringi kwa dharau
G C G
lawama acha nipewe
D
Nitoke duniani angalau
G C
kuliko ukakanyanyasika
G D
ila mpenzi usisahau
[post reff]
G C G D
mi ooh oh, i-- mi amor
G C G D
I-- my love, i-- te amor, i
G C G D
I love you-- i love you--
G C G D
Baby i love you-- i-- love you
G C
I love you ( mi nakupenda sana )
G D
I love you ( usiniache mama )
G C
Baby i love you ( me oooh )
G D G C G D G C G D
I-- love you
[verse]
G C G
sura ya mama, umbo lawama
D
Unayabia maguu
G C G
unanichanganya ukiinama
D
Naangalia tattoo
G C
nipakulie chakula mama sikomi
G D
asubuhi mchana mpaka jioni
G C
michezo unaijua mama msomi
G D
pini kitovu kifua na sikioni
[refrain]
G C G
salama nikiwa na wewe
D
Hata kama nina shida nasahau
G C
sura kama malaika
G D
na wala hauringi kwa dharau
G C G
lawama acha nipewe
D
Nitoke duniani angalau
G C
kuliko ukakanyanyasika
G D
ila mpenzi usisahau
[post reff]
G C G D
mi ooh oh, i-- mi amor
G C G D
I-- my love, i-- te amor, i
G C G D
I love you-- i love you--
G C G D
Baby i love you-- i-- love you
G C
I love you ( mi nakupenda sana )
G D
I love you ( usiniache mama )
G C
Baby i love you ( me oooh )
G D G C G D G C G D
I-- love you
Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi mizigo vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa pressure mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooooh tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukakanyanyasika
Ila mpenzi usisahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
Baby I love you(Me oooh)
I love you
Sura ya mama, umbo lawama
Unayabia maguu
Unanichanganya ukiinama
Naangalia tattoo
Nipakulie chakula mama sikomi
Asubuhi mchana mpaka jioni
Michezo unaijua mama msomi
Pini kitovu kifua na sikioni
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Ila mpenzi asahau
Mi ooh oh, I, mi amor, I
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you
I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
I love you
Tab not available
Buy song
I Love You on iTunes store
Support artists with purchashing the original song!
Advertisement
Leave a comment