I Love You

by Rayvanny

1049
capo: 1st fret

[verse]

G                 C
  ilikuwa safari ndefu yenye mateso
G           D
  machozi mizigo vikwazo
G     C         G   D
  ila yote umenitua

G              C
  naomba penzi letu lisife kesho
G          D
  ukanipa pressure mawazo
G        C        G   D
  chonde mama utaniua

[pre reff]

                G               C
Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
     G                D
Hata sijakutekenya unacheka
           G       C
Oooh tambua ushaniteka
  G                   D
Hata bila chakula nanenepa, my love

[refrain]

G    C              G
  salama nikiwa na wewe
                D
Hata kama nina shida nasahau
G           C
  sura kama malaika
G            D
  na wala hauringi kwa dharau

G    C           G
  lawama acha nipewe
                D
Nitoke duniani angalau
G             C
  kuliko ukakanyanyasika
G      D
  ila mpenzi usisahau

[post reff]

G          C   G        D
  mi ooh oh, i-- mi amor
  G        C   G        D
I-- my love, i-- te amor, i
G         C  G         D
I love you-- i love you--
     G         C  G   D
Baby i love you-- i-- love you

G          C
I love you ( mi nakupenda sana )
G          D
I love you ( usiniache mama )
     G          C
Baby i love you ( me oooh )
G   D       G C G D G C G D
I-- love you

[verse]

G          C            G
  sura ya mama, umbo lawama
             D
Unayabia maguu
G          C          G
  unanichanganya ukiinama
               D
Naangalia tattoo

G                C
  nipakulie chakula mama sikomi
G             D
  asubuhi mchana mpaka jioni
G               C
  michezo unaijua mama msomi
G                 D
  pini kitovu kifua na sikioni

[refrain]

G    C              G
  salama nikiwa na wewe
                D
Hata kama nina shida nasahau
G           C
  sura kama malaika
G            D
  na wala hauringi kwa dharau

G    C           G
  lawama acha nipewe
                D
Nitoke duniani angalau
G             C
  kuliko ukakanyanyasika
G      D
  ila mpenzi usisahau

[post reff]

G          C   G        D
  mi ooh oh, i-- mi amor
  G        C   G        D
I-- my love, i-- te amor, i
G         C  G         D
I love you-- i love you--
     G         C  G   D
Baby i love you-- i-- love you

G          C
I love you ( mi nakupenda sana )
G          D
I love you ( usiniache mama )
     G          C
Baby i love you ( me oooh )
G   D       G C G D G C G D
I-- love you
              Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi mizigo vikwazo
Ila yote umenitua

Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa pressure mawazo
Chonde mama utaniua

Na vile hujui kununa fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooooh tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love

Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukakanyanyasika
Ila mpenzi usisahau
 
Mi ooh oh, I, mi amor, I 
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you

I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
Baby I love you(Me oooh)
I love you

Sura ya mama, umbo lawama
Unayabia maguu
Unanichanganya ukiinama
Naangalia tattoo

Nipakulie chakula mama sikomi
Asubuhi mchana mpaka jioni
Michezo unaijua mama msomi
Pini kitovu kifua na sikioni

Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau

Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Ila mpenzi asahau

Mi ooh oh, I, mi amor, I 
My Love, I, te amor, I
I love you I love you
Baby I love you, I love you

I love you(Mi nakupenda sana)
I love you(Usiniache mama)
I love you              
Tab not available
 Buy song I Love You on iTunes store

Support artists with purchashing the original song!

Publish Tab

Log in or register to publish tabs and earn points for every tab you share!

Login at Musikord
All Artists:
All Artists: # A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z